Ahmedally

Ahmedally смотреть последние обновления за сегодня на .

AHMED ALLY AWATOA HOFU MASHABIKI KUHUSU INONGA/"WALITAKA GOLI NYINGI/TUONEE WATU HURUMA".

12547
95
12
00:11:17
21.09.2023

Leo Sep 21 ndani ya Dimba la Uhuru Mnyama mkali Simba Sc kuingia mawindoni dhidi ya Coastal Union majira ya saa 10:00. Mpenja Tv tunakuletea Habari na matukio yote kabla na baada ya Mchezo kumalizika. Macho na Masikio ya wanamichezo yapo Uhuru kujua nini kinakwenda kutokea kati ya Mwenyeji Simba na Mgeni Coastal Union

🔴#Live_ AHMED ALLY TAARIFA KUHUSU INONGA/ USHINDI WA MAGOLI 3/ WANAOUMIA

10258
34
19
00:09:56
21.09.2023

#keepwatchingmavalatv #SimbaVSBisharaUnited#Simba#Yanga#YangaVSKageraSugar#BerkaneVSSimba#Challenge#TryNotToLaugh#Mayele#YangaVSMtibwa#LiveMatch#AllyMayay#MtibwaVSYanga#BerkaneVSSimba##AllyMayayTembele#YangaTv#SIMBA##KibwanaShomari#Yanga#Simba#Yanga#Simbawalivyoondoka#KikosichaSimba#Tryagain#SimbaApp#Simbakuondoka##UchambuziWaAllyMayay#Bocco#Mayele#Magoliyote#UchambuziYanga#UchambuziSimbaVSBerkane#SimbaVSRuvushooting#RuvuShootingVsSimba#YangaVSBiasharaUnited#YangaVSBiashara#AzamTv#Valentine#Sakho#Simba##ASECMIMOSAS#SIMBA#Privaldinho#AllySonso#MsibawaAllySonso#SimbavsAsesmimo#Yanga#Manara#SimbaTv#h#MsheryYanga#barbara#Millard#MapokeziYaSimba#KombelaMapinduzi#Yanga#AzamFc#PasiMillion##AzamFc#Yanga#mayele #millardayo #magoliyasimba#simba ##millardayo #feitoto #simba #AzamFc#Simba#Yanga#Mkude#ahmedAlly#simba #AzamFc#Sakho#Tepse#MagoliyaSimba#Finalmatch##livestream#mapinduziCup#Yanga#namungo#mayele#mapinduziCup#simbavsnamungolive #yangavsazamfclive #vitukovyamorison #usajilisimba #denisnkane #chama #manara #yanga #sakho #HajiManara #Mapinduzicup#dennisnkane #yangazanzibar #simbazanzibar #allykamwe #uchambuziwaallykamwe #usajilimpya #morison #vitukovyamorrison #MenejawaSimbaSC#PatrickRweyemum#SimbaUsajili#Yanga#Mapinduzi#yanga #simbanjampyawasimba #simba #jktTanzania #mackyanga #wachezajiwasimbawauguakagera #simba#Magoliyoteyanga #uchambuziyangavsihefu|#AzamSportsFederationCup #simbavsjktTanzaniafullhighlights #GolilakibuDennisleo #mzaramowasimbaleo #mangunguleo #mashabikiwasimba #uwanjampyawasimba #uchambuziwasimbsvsya #hubaleoalhamisi #hubaleoijumaa #juakalileojumatano #juakalileoalhamisi #juakalileoijumaa #kitasaleojumatatu #kitasaleojumanne #kitasaleojumatano #kitasaleoalhamisi #kitasaleoijumaa #bekitatuleojumatat #bekitatuleojumanne #bekitatuleojumatano #bekitatuleoalhamisi #bekitatuleoijumaajumapili #desireLeojumatatu #desireleojumanne #desireleojumatano #Ndoanoleousikujumamosi #Ndoanoleousikujumapili huba leo jumatatu huba leo jumanne huba leo jumatano huba leo alhamisi SIMBA YANGA GEITA GOLD LUSAJO BOCCO MAYELE BIGIRIMANA MORRISON AZIZ KI GSM YANGA POLISI TANZANIA NAMUNGO JKT TANZANIA MTIBWA SUGAR DODOMA JIJI KMC KIFARU MBEYA CITY IHEFU TANZANIA PRISON ASUKILE KIBWANA ZIMBWE INONGA MZARAMO PASS MILION MAKAME YANGA KIGELEGELE MARK YANGA GOD YANGA FULL HIGHLIGHTS ALL GOALS BUMBULI BARBARA DIARRA BANGALA AUCHO SURE BOY SAKHO MOSES PHIRI BARAKA MPENJA MAVALA TV AYOMA LIVE KIKOSI CHA YANGA KIKOSI CHA SIMBA KIBU DENIS MWIGLU NCHEMBA TOZO AZAM TV WASAFI HUBA MANDONGA VITASA LEO JIMMY KINDOKI DAUD YANGA AGGY SIMBA MO WASAFI BIG SUNDAY LIVE AZAMSPORTS 2 HD MWANAMUZIKI BEKI TATU TAMTHILIA MAYELE MZUNGU AHMED ALLY MANARA ALLY KAMWE ALLY MAYAY UCHAMBUZI MAMELOD TP MZAZEMBE SIMBA YANGA BARBARA BUMBULI MO AZIZ KI KIKOSI CHA YANGA KIKOSI CHA SIMBA ALL HILALI PREMIIOR DE AGOST GLOBAL TV GLOBAL REDIO UDAKU CONNECTION MAHABA MSUKUMA CHADEMA CCM DIAOMOND AHRMONIZE MEERY ME MARIOO ZUCHU MBOSSO RAYAVVANY BINGO ONLINE SIMBA RICK MEDIA MILLARD AYO MAVALA TV ALL GOALS MANDONGA VITASA MWAKINYO SAMIA WASAFI BIG SUNDAY LIVE EFM OSCAR OSCAR SOKAONLINE YANGA TV SIMBA TV Djoliba (Mli) Dep. Mongomo (Gnq) Kabylie (Alg) Casa (Sen) Al-Hilal Omdurman (Sud) St. George (Eth) Al-Ittihad (Lby) Flambeau du Centre (Bur) Cotonsport (Cmr) Matlama (Les) ASEC Mimosas (Ivo) Coton FC (Ben) Watanga (Lbr) Rivers United (Nga) Asante Kotoko (Gha) Kadiogo (Bfa) Elect Sport (Cha) Zamalek (Egy) Plateau United (Nga) Stade Mandji (Gab) Primeiro de Agosto (Ang) Red Arrows (Zam) AS Vita Club (Drc) Red Arrows (Zam) AS Vita Club (Drc) Gaborone Utd (Bot) Otoho d'Oyo (Con) Cape Town City (Rsa) Monastir (Tun) APR (Rwa) Simba (Tan) Big Bullets (Mal) Nouadhibou (Mrt) Kara (Tog) CR Belouizdad (Alg) Bo Rangers (Sie) Al Ahly Tripoli (Lby) KMKM (Zan) Young Africans (Tan) Zalan (Ssu) Petro Atletico (Ang) Black Bulls (Moz) Horoya (Gui) Hawks (Gam) Royal Leopards (Esw) CFFA (Mad) Vipers (Uga) Olympic Real de Bangui (Caf) Al-Merreikh (Sud) AS Arta (Dji) SOAR (Gui) Nigelec (Nig) Kadiogo (Bfa) Asante Kotoko (Gha) Casa (Sen) Kabylie (Alg) Coton FC (Ben) ASEC Mimosas (Ivo) Gaborone Utd (Bot) AS Vita Club (Drc) Kara (Tog) Nouadhibou (Mrt) Rivers United (Nga) Watanga (Lbr) AS Arta (Dji) Al-Merreikh (Sud) Black Bulls (Moz) Petro Atletico (Ang) CFFA (Mad) Royal Leopards (Esw) Flambeau du Centre Al-Ittihad (Lby) St. George (Eth) Al-Hilal Omdurman (Sud)🤍 Bo Rangers (Sie) CR Belouizdad Nigelec (Nig) SOAR (Gui) Dep. Mongomo (Gnq) Djoliba (Mli) Olympic Real de Bangui (Caf) Vipers (Uga) Matlama (Les) Cotonsport (Cmr) Stade Mandji (Gab) Plateau United (Nga) APR (Rwa) Monastir (Tun) Big Bullets (Mal) Simba (Tan) Cape Town City (Rsa) Otoho d'Oyo (Con) Hawks (Gam) Horoya (Gui) KMKM (Zan) Al Ahly Tripoli (Lby) Red Arrows (Zam) Primeiro de Agosto (Ang) Zalan (Ssu) Young Africans (Tan) Volcan Club (Com) La Passe (Sey)q9

AHMED ALLY:''CAF WAMEWEKEZA KWENYE KICHWA CHANGU/WANAIGA SANA/SIKU NIKIACHA KUWAZA WATAPATA SHIDA.

58670
624
164
00:34:13
08.09.2023

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC,Ahmed Ally aeleza namna Timu inavyoendelea kujinoa kwa ajili ya kuelekea Zambia kwenye Mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos ,Mchezo utakaochezwa Sept 16,2023 katika Uwanja wa Levy Mwanawasa Ndola Zambia. Pia amesena mwamko wa Mashabiki kwenda kwenye Mchezo huo umekuwa mkubwa sana tofauti na walivyodhania hapo awali na hii ni kutokana na Ukubwa na Ubora wa Timu hiyo.

AHMED ALLY" MIMI MTU WA BOLI,AMAPIANO SIWEZI/ NAIONA NUSU FAINALI CAF/KUNDI LA WAKUBWA"

43781
418
55
00:08:57
28.07.2023

Meneja wa habari na mawasilioano wa timu Simba Sc Ahmed Ally anegusia juu ya mchezo wao wa kimataifa Klabu bigwa Africa ambapo Simba ana subiri mshindi kati ya African Stars ya Namibia dhidi ya Power dynamo ya Zambia Pia Ahmed amesema ana imani kwamba mwaka huu watatinga nusu fainali ya mashindano hayo kulingana na ubora wa kikosi walicho nacho

AHMED ALLY APANDA NGAMIA, ATINGA UWANJANI KIBABE MASHABIKI SIMBA DAY WALIAMSHA SHANGWE

18680
83
13
00:02:59
06.08.2023

Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience! We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below! #entertainment #news #music #funny

AHMED ALLY AMWAGIKA/"MIPANGO IMEGOMA/MAKUNDI LAZIMA KWA MNYAMA/SARE KWETU INA FAIDA KUBWA SANA"

63067
441
241
00:15:54
16.09.2023

Leo Sept 16,2023 katika Dimba la Levy Mwanawasa Ndola Zambia,inapigwa mbungi ya ligi ya Mabingwa Barani Afrika kati ya Power Dynamos ya Zambia na Simba SC ya Tanzania,Saa 9 Alasiri kwa Zambia na Saa 10 Jioni Saa za Afrika Mashariki.

AHMED ALLY AFICHUA MAPYA/"TULIMUIBA MCHEZAJI WAO AIRPORT/WAKILETA MWINGINE TUNACHUKUA/UBAYA UBAYA TU

51127
432
130
00:23:15
06.07.2023

Meneja Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa Simba Sc Ahmed Ally anaelezea Sifa za Willy Essomba Onana baada ya Kumtambulisha kwa Kandarasi ya Miaka Miwili ya kuitumikia Klabu hiyo. Ahmed Ally pia athibitisha Umafia walioufanya Uwanja wa Ndege kwa kumnasa Mchezaji aliyekuja kwaajili ya Watani zao Yanga Sc.

KIMEUMANA AHMED ALLY AFUNGUKA YA MANULA/KRAMO KUUMIA TENA/KAMA YANGA WAZURI TANGA KILIWASIBU NINI?

56001
219
94
00:18:01
11.09.2023

KIMEUMANA AHMED ALLY AFUNGUKA YA MANULA/KRAMO KUUMIA TENA/KAMA YANGA WAZURI TANGA KILIWASIBU NINI?

SEMAJI AHMED ALLY LABANDIKA MAJINA YA WACHEZAJI KWENYE GARI/ONANA/KRAMO/ MALONE/LAPITA MITAANI

67607
516
148
00:17:01
10.07.2023

Mpenja Tv tumepata ugeni wa Semaji la Simba Ahmed Ally mapema Leo July 10, amefika huku Gari yake ikiwa imebandikwa Majina ya Nyota wapya ambao wamesajiliwa na Simba katika Dirisha hili. Semaji ametoa Sifa za kutosha kwa Nyota Che Malone na kutoa Mfano wa Bahari ilivyopasuka baada ya Usajili wake. Onana pamoja na Kramo pia wamo kwenye Gari ya Semaji, amwaga sifa za kutosha kwao. Pia Semaji limeeleza sababu za Simba kufanya Usajili mkubwa.

Kauli ya Ahmed Ally baada ya Simba kutoka sare ya 2-2 na Power Dynamos CAF CL

40654
155
64
00:05:12
16.09.2023

“....hatua ya makundi ni haki yetu” –Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally aitaja tarehe moja mwezi wa kumi kuwa siku ya hukumu, asema sare ya leo ni faida zaidi kwao. FT: Power Dynamos 2-2 Simba SC

AHMED ALLY AMWAGIKA/SIMBA DAY UNYAMA MWINGI/AMPIGA DONGO SKUDU/KISPIKA NDANI YA BUZA/MO AMESHAMALIZA

52365
451
68
00:35:26
25.07.2023

Klabu ya Simba kupitia Ofisa mtendaji mkuu Imani Kajula pamoja na Meneja wa Habari na Mawasiliano Ahmed Ally imezungumza maandalizi yao kuelekea Tamasha la kilele cha Siku ya Simba (Simba Day) litakalofanyika August 6 2023,Katika Dimba la Benjamin Mkapa. Siku hiyo kutakuwa na Burudani mbalimbali kutoka kwa Wasanii wa ndani na wa Kimataifa. Pia itapigwa mbungi ya kirafiki ya Kimataifa kati ya Simba SC na Power Dynamos FC ya Zambia.

AHMED ALLY 'FULL KICHEKO' AKIVALISHWA MEDALI YA CAF NA MORRISON

48517
171
13
00:00:37
05.06.2023

AHMED ALLY 'FULL KICHEKO' AKIVALISHWA MEDALI YA CAF NA MORRISON 🤍 WATCH WASAFI TV📺 AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113 LISTEN WASAFI FM 📻 88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻 Follow Us On: INSTAGRAM: 🤍 || 🤍 TWITTER: 🤍 || 🤍 FACEBOOK: 🤍 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅. #wasafi #wasafitv #wasafifm

AHMED ALLY AFUNGUKA MCHEZAJI MPYA SIMBA/AMTAJA ONANA/“NI HATARI/SIO GALASA/TUNASHINDANA NA WAZUNGU”

43476
455
83
00:21:37
02.07.2023

Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc Ahmed Ally afunguka kuhusu Usajili Mpya watakaouanza hivi karibuni. Pia kuhusu Ujio wa Jezi Mpya wa Klabu hiyo zitakazozinduliwa Mwezi huu.

🚨Uchambuzi EFM,Sakata la Inonga na Kinachoendelea Simba,Ahmedally Afunguka majibu ya vipimo.

1342
8
2
00:10:11
22.09.2023

#sports #simba #simbasc #simbasctanzania #yangasc #yangasc #yangafc

AHMED ALLY AJIBU MAPIGO/"SISI HATUTELEKEZI MASHABIKI ZETU UGENINI/KUHUSU AYOUB LAKLED?/CHAMA,ONANA.

54858
378
182
00:14:49
18.09.2023

Meneja habari na mawasiliano wa timu ya Simba Sc Ahmed Ally amezungumza na waandishi wa habari baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere wakitokea Ndola nchini Zambia Ahmed Ally amejibu wale ambao wanambeza nyanda wao Ayoub Lakled na pia kueleza maandalizi yao kuelekea mechi zijazo

AHMED ALLY AIBUKA NA JIPYAA!/“SIJAPOTEA/AISHI MANULA KAENDA SOUTH/MO DEWJI KAWEKA PESA ZA USAJILI”

62875
529
50
00:12:29
29.05.2023

Leo Tarehe 29 Mei,Mpenja Tv tumefanya Mahojiano na Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba Sc Ahmed Ally na kuweka wazi Mwenendo wa Timu hiyo wakati huu ambao Ligi Kuu imesimama wakiwa wamebakiza Mechi Mbili Msimu kwisha.

#Live: AHMED ALLY ANAZUNGUMZA SIMBA JIPANGA KIMATAIFA ZAIDI

20611
84
30
00:11:05
31.08.2023

#Live: AHMED ALLY ANAZUNGUMZA SIMBA JIPANGA KIMATAIFA ZAIDI

AHMED ALLY AMWAGA MAKOPA KWA ALLY SALIM/"TUNAPOELEKEA NI MLENDA TU MWENDO WA KUTELEZA/KIBU AMEFURAHI

76580
494
79
00:15:21
10.08.2023

Leo August 10 2023,katika Dimba la Mkwakwani jijini Tanga inapigwa mbungi ya nusu fainali ya pili ya ngao ya jamii 2023 kati ya Simba SC na Singida Fountain Gate FC,Saa Mojave Usiku. Mpenja TV tunakuletea taarifa za matukio yote yatakayojiri kwenye mbungi hiyo.

AHMED ALLY"AUTOMATIC SISI NI MABINGWA/AFRIKA NZIMA ITAPATA KUZUNGU/MANULA KUWAKOSA WYDAD TENA/KIBU.

43725
442
138
00:26:17
24.04.2023

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC,Ahmed Ally ameeleza maandalizi ya Safari kuelekea Morocco kwa ajili ya Mchezo wa mkondo wa pili robo Fainali ya ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Athletic Club,Utakaochezwa Nchini Morocco Aprili 28 2023.

LIVE: KUTOKA ZANZIBAR ALLY KAMWE AMBANANISHA AHMED ALLY KISA CHAI/RAIS HERSI HANA NJAA

28224
251
57
00:10:39
22.08.2023

Leo Tarehe 22 Agosti Mpenja Tv imeanza safari kuelekea Kisiwani Zanzibar kwaajili ya Tukio la ufunguzi wa Tamasha la Kizimkazi linalofanyika kuanzia Tarehe 25 Kwenye Safari hii imewakutanisha Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc pamoja na Yanga Sc Ahmed Ally pamoja na Ally Kamwe

AHMED ALLY: "PHIRI AKIWATUNGUA POWER DYNAMOS WATAMUHESHIMU ZAMBIA NZIMA/HII NI NJIA TU"

53471
434
64
00:14:39
13.09.2023

Mashabiki na Wanachama wa Simba SC,wamekutana Ubungo Plaza tayari kwa safari ya kuelekea Zambia, kwenye mchezo wa ligi ya Mabingwa afrika dhidi ya Power Dynamos,utakaochezwa Sept 16,2023 katika Uwanja wa Levy Mwanawasa Ndola Zambia.

AHMED ALLY APIGIWA SIMU NA WAZIRI MKUU/ALLY KAMWE AINGILIA/"MHESHIMIWA TUMIA JINA LA ALLY KAMWE"

121266
1013
113
00:21:26
23.03.2023

JAMBO LA NCHI Ni zoezi la Uchangiaji Tiketi kwaajili ya kuipa Sapoti Timu ya Taifa Ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwenye Mechi ya Marudiano ya Kufuzu Afcon dhidi ya Uganda Siku ya Jumanne Saa 1:00 Kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Cliford Ndimbo Ofisa Habari wa TFF,amewakutanisha Maofisa wengine kutoka Simba Sc Ahmed Ally,Yanga Sc Ally Kamwe na Azam Fc Hasheem Ibwe ili kuendesha Harambee hiyo kwenye Mkutano na Wanahabari uliofanyika Leo Dar es salaam. Jumla ya Ticket 10500 zimekusanywa kwenye Hatua ya Awali,Zoezi ilo likiwa ni endelevu Mpaka kufikia siku ya Mechi.

AHMED ALLY: "BARAKA MPENJA ALIKOSEA KUMUITA CHAMA 'MWAMBA WA LUSAKA'/TEMA MATE CHINI KUPIGWA HAIPO"

56236
462
113
00:21:55
15.09.2023

Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba SC Ahmed Ally amezungumza baada ya Kikosi cha Simba kufanya mazoezi yake ya mwisho kwenye Uwanja wa Levy Mwanawasa

🚨LIVE,Nyiee🙌 Ahmedally akitema cheche baada ya Malon,bado hatujamaliza,Awalipua yanga kuhusu mayele

29926
111
22
00:10:00
09.07.2023

#sports #simbasc #simbasctanzania #ahmedally #baleke

UTANI WA AHMED ALLY NA ALLY KAMWE/HUNA MEDALI UNAVAA TU TAI/MKAMIAJI/GUNDU/HAMASA STARS VS NIGER

42908
435
59
00:18:35
15.06.2023

Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ tayari ipo kambini kujiandaa na mechi ya Kundi F dhidi ya Niger kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika ‘Afcon 2023’ itakayopigwa Jumapili kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, huku timu hiyo ikihitaji ushindi kwa lengo la kujiweka pazuri kwenda Ivory Coast.

AHMED ALLY: "NI AIBU YA KARNE YANGA KUTANGAZA UBINGWA KWETU/MIAKA MITATU HATUJAWAFUNGA/HAWATOKI"

19093
164
61
00:25:43
12.04.2023

Simba SC wameeleza Mipango na mikakati yao ikiwemo kuja na Executive Tickets kwa ajili ya Mashirika na Taasisi mbali mbali,Platnum Tickets pamoja na Mnyama Package kwa ajili ya Makundi mbali mbali ya Mashabiki wa Simba SC,kuelekea Kariakoo Derby dhidi ya Mtani wao Yanga SC,April 16 2023,Mchezo Utakaochezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Saa kumi na Moja jioni. Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC,Ahmed Ally pamoja na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Simba Imani Kajula wameyazungumza hayo asubuhi ya leo,kwenye Mkutano na Waandishi wa Habari,uliofanyika Ofisi zao Masaki.

Назад
Что ищут прямо сейчас на
ahmedally 교집합 甄嬛 schlangenbohrer 유니팬 이프로 efir مانشستر سيتي وباريس سان جيرمان Elvish Yadav manisha rani mario vreco اوریگامی،اوریگامی پروانه،چگونه اوریگامی پروانه بسازیم،کاردستی پروانه کاغذی اغاني رحمة رياض رسول الله sezen aksu PS4 神ゲー dalen mkojani グリーンギャラリーガーデンズ 郭嘉駿 egg curry gravy recipe